Yohane Mwema

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Mwema
Remove ads

Yohane Mwema (641 hivi - 669) anatajwa kama askofu wa kale wa Milano, nchini Italia, ambaye alirudisha makao makuu ya jimbo katika mji huo kutoka Genova yalipokaa miaka 70 kwa sababu ya dhuluma ya Walombardi[1].

Thumb
Masalia ya Yohane Mwema katika kanisa kuu la Milano.

Kutokana na wema na uadilifu wake, tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads