Yohane Fransisko Regis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Fransisko Regis
Remove ads

Yohane Fransisko Regis, S.J. (Fontcouvert, 31 Januari 1597 - Lalouvesc, 31 Desemba 1640) alikuwa padri wa Shirika la Yesu nchini Ufaransa.

Thumb
Mt. Yohane Fransisko Regis alivyochorwa.

Baada ya kuhudumia wagonjwa wa tauni, alikwenda kuhubiri na kuungamisha mfululizo milimani na vijijini ili kuinua imani ya Kikatoliki katika roho za waumini wa jimbo la Viviers kuanzia mwaka 1633 hadi kifo chake [1].

Alitangazwa na Papa Klementi XI kuwa mwenye heri tarehe 18 Mei 1716, halafu Papa Klementi XII alimtangaza mtakatifu tarehe 5 Aprili 1737.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyoiaga dunia[2]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads