Yosefu Manyanet
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yosefu Manyanet (jina kamili: Josep Manyanet i Vives; Tremp, Lleida, 7 Februari 1833 – San Andreu del Palomar, Barcelona, 17 Desemba 1901) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Hispania.

Baada ya kuwa paroko sehemu mbalimbali, alianzisha shirika la Wana wa Familia Takatifu, pamoja na lile ya Mabinti Wamisionari wa Familia Takatifu ili kusaidia familia zote kuwa bora kwa kufuata mfano wa ile takatifu ya Yesu, Maria na Yosefu.[1][2][3]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 25 Novemba 1984 halafu mtakatifu tarehe 16 Mei 2004.[4]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Machapisho yake
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads