Yosefu Maria Gambaro

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yosefu Maria Gambaro
Remove ads

Giuseppe Maria Gambaro (Galliate, Italia, 7 Agosti 1869 - 7 Julai 1900) alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo aliyefia imani huko China, alipokuwa mmisionari, akiuawa kwa kupigwa mawe huku akijitokeza pamoja na askofu Antonino Fantosati kutetea waumini wakati wa Uasi wa Waboksa [1].

Thumb
Picha yake halisi.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 119.

Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila mwaka tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 7 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads