Yosefu Maria Gambaro
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Giuseppe Maria Gambaro (Galliate, Italia, 7 Agosti 1869 - 7 Julai 1900) alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo aliyefia imani huko China, alipokuwa mmisionari, akiuawa kwa kupigwa mawe huku akijitokeza pamoja na askofu Antonino Fantosati kutetea waumini wakati wa Uasi wa Waboksa [1].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 119.
Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila mwaka tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 7 Julai[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads