Yosefu Maria Rubio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yosefu Maria Rubio
Remove ads

Yosefu Maria Rubio (Dalias, leo nchini Hispania, 22 Julai 1864 - Aranjuez, Hispania, 2 Mei 1929) alikuwa padri wa Shirika la Yesu, ambaye anaitwa mtume wa Madrid kwa jinsi alivyotangaza Injili huko, hasa kwa kutembelea mitaa maskini, mbali ya kuhubiri mafungo na kuungamisha waliotubu [1].

Thumb
Picha yake halisi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 6 Oktoba 1985 akamtangaza mtakatifu tarehe 4 Mei 2003[2][3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4][5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads