Yosefu Moscati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yosefu Moscati (kwa Kiitalia: Giuseppe Moscati; Benevento, 25 Julai 1880 – Napoli, 12 Aprili 1927) alikuwa daktari na mwanabiolojia wa Italia Kusini[1].

Pamoja na kutibu wagonjwa bila kujibakiza, kwa huruma kubwa na hata bure, alikuwa anashughulikia roho zao pia, na pengine aliwaponya kimuujiza; pia alikuwa mtafiti wa biokemia na kufundisha chuo kikuu[2][3].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Paulo VI tarehe 16 Novemba 1975, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 25 Oktoba 1987.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads