Yosefu Moscati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yosefu Moscati
Remove ads

Yosefu Moscati (kwa Kiitalia: Giuseppe Moscati; Benevento, 25 Julai 1880Napoli, 12 Aprili 1927) alikuwa daktari na mwanabiolojia wa Italia Kusini[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Pamoja na kutibu wagonjwa bila kujibakiza, kwa huruma kubwa na hata bure, alikuwa anashughulikia roho zao pia, na pengine aliwaponya kimuujiza; pia alikuwa mtafiti wa biokemia na kufundisha chuo kikuu[2][3].

Alitangazwa mwenye heri na Papa Paulo VI tarehe 16 Novemba 1975, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 25 Oktoba 1987.

Sikukuu yake hufanyika tarehe 12 Aprili[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads