Yusto wa Condat
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yusto wa Condat alikuwa mmonaki wa monasteri ya Condat nchini Ufaransa[1].
Ingawa habari za maisha yake ni chache mno, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[2]. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X tarehe 9 Desemba 1903[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads