Zakaria wa Mercurion

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Zakaria wa Mercurion (alifariki kwenye eneo hilo la mlima Pollino, mkoa wa Basilicata, 950 hivi BK) anakumbukwa kama mmonaki aliyeitwa "wa kimalaika" akaanzisha monasteri[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa mwaka 1807.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Januari[2]

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads