Zakayo wa Yerusalemu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Zakayo wa Yerusalemu (alifariki 116/134) kwa asili alikuwa Myahudi[1] akawa askofu wa nne wa Yerusalemu kuanzia mwaka 111 hadi kifo chake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu[3].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads