Zakayo wa Yerusalemu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zakayo wa Yerusalemu
Remove ads

Zakayo wa Yerusalemu (alifariki 116/134) kwa asili alikuwa Myahudi[1] akawa askofu wa nne wa Yerusalemu kuanzia mwaka 111 hadi kifo chake[2].

Thumb
Ramani ya Yerusalemu iliyotengenezwa kama mozaiki huko Madaba.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Agosti[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads