Zaragoza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zaragoza
Remove ads

Zaragoza (matamshi ya Kihispania: θaɾaˈɣoθa; pia: Saragossa[1] kwa Kiingereza[2]) ni mji wa Hispania, makao makuu ya Mkoa wa Zaragoza na ya jumuia ya kujitegemea ya Aragon.

Thumb
Mji wa Zaragoza

Tarehe 1 Januari 2019 wakazi wake walikuwa 706,904,[3] katika eneo la km² 1062.64, ukiwa wa tano nchini kwa wingi wa watu, na wa 32 katika Umoja wa Ulaya.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads