Zhang Huailu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zhang Huailu
Remove ads

Zhang Huailu (Zhuketian, 1843 hivi - Zhuketian, 9 Julai 1900) alikuwa mkatekumeni wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia akipata nguvu kwa ishara ya msalaba na kubatizwa katika damu yake mwenyewe [1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 1 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads