Zing Zong

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zing Zong
Remove ads

"Zing Zong" ni jina la albamu ya saba kutoka kwa msanii wa muziki wa dansi na soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kanda Bongo Man. Albamu imetoka mwaka wa 1991. Nyimbo kali zilizotamba kutoka katika albamu ni pamoja na Isambe, Wallow na Monie.

Ukweli wa haraka Studio album ya Kanda Bongo Man, Imetolewa ...
Remove ads

Orodha ya nyimbo

Maelezo zaidi Na., Jina la wimbo ...

Tazama pia

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads