Herakli na Zosimo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Herakli na Zosimo (walifariki Karthago, 263 hivi) ni kati ya Wakristo wa Tunisia waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya makaisari Valeriani na Gallienus.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yao, hawaorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 11 Machi[1].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads