ASEC Mimosas
klabu ya soka nchini Ivory Coast From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
ASEC Mimosas (jina kamili ni Association Sportive des Employés de Commerce Mimosas) kwa maana halisi ni Chama cha Wafanyakazi wa Biashara wa Mimosas, ni klabu ya soka yenye makao yake katika mji wa Abidjan. Klabu hiyo pia inajulikana hasa katika mashindano ya kimataifa ya klabu kama ASEC Mimosas Abidjan au ASEC Abidjan.
Ilianzishwa mwaka 1948, na kuwa klabu yenye mafanikio zaidi katika soka wa Ivory Coast, baada ya kushinda Ligi Kuu ya Ivory Coast mara 24 na Ligi ya Mabingwa ya CAF mwaka 1998.[1]

uwezo - 50,000
Kituo cha kufundisha soka cha ASEC's Académie MimoSifcom kimezalisha idadi ya wachezaji maarufu zaidi wanaocheza na waliocheza katika ligi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Bonaventure Kalou, Didier Zokora, Emmanuel Eboué, Bakari Koné, Gervinho, Salomon Kalou, Romaric, Boubacar Barry, Didier Ya Koné na, Kolo Toure, Yaya Toure na Odilon Kossounou, ambao wote wamecheza soka kimataifa.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads