1948
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1948 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
 
◄ |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| ►
◄◄ |
◄ |
1944 |
1945 |
1946 |
1947 |
1948
| 1949
| 1950
| 1951
| 1952
| ►
| ►►
Matukio
- 30 Januari - Mahatma Gandhi anauawa na Mhindu mkali anayechukia jitihada za Ghandi za kutunza umoja wa Uhindi na haki kwa ajili ya Waislamu Wahindi.
 
Waliozaliwa
| Kalenda ya Gregori | 2025  MMXXV  | 
| Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 | 
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 | 
| Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 | 
| Kalenda ya Kiarmenia | 1474  ԹՎ ՌՆՀԴ  | 
| Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 | 
| Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 | 
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2080 – 2081 | 
| - Shaka Samvat | 1947 – 1948 | 
| - Kali Yuga | 5126 – 5127 | 
| Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722  甲辰 – 乙巳  | 
- 7 Januari - Ichiro Mizuki, mwanamuziki kutoka Japani
 - 14 Januari - Carl Weathers, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 15 Februari - Tino Insana, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 28 Februari - Steven Chu, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997 na Waziri wa Nishati wa Marekani (tangu 2009)
 - 11 Machi - Franz Lambert, mwanamuziki wa Ujerumani
 - 20 Machi - John de Lancie, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 30 Machi - Method Kilaini, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
 - 31 Machi - Al Gore, Kaimu Rais wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani (2007)
 - 1 Aprili - Jimmy Cliff, mwanamuziki kutoka Jamaika
 - 15 Mei - Brian Eno, mwanamuziki wa Uingereza
 - 31 Mei - Svetlana Alexievich, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2015
 - 12 Julai - Richard Simmons, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 18 Julai - Hartmut Michel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1988
 - 3 Septemba - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
 - 29 Septemba - Theo Jörgensmann, mwanamuziki kutoka Ujerumani
 - 10 Oktoba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
 - 24 Oktoba - Mike Laizer, mwanasiasa wa Tanzania
 - 25 Oktoba - Agapiti Ndorobo, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
 - 28 Oktoba - Telma Hopkins, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 1 Novemba - Amani Abeid Karume, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000
 - 5 Novemba - William Phillips, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997
 - 11 Novemba - Vincent Schiavelli, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 26 Novemba - Elizabeth Blackburn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2009
 - 28 Novemba - Mgana Izumbe Msindai, mwanasiasa kutoka Tanzania
 - 15 Desemba - Cassandra Harris, mwigizaji filamu kutoka Australia
 - 30 Desemba - Randy Schekman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2013
 
bila tarehe
- Penina Muhando, mwandishi Mtanzania
 
Remove ads
Waliofariki
- 30 Januari - Mahatma Gandhi, mwanasheria, mwanafalsafa na kiongozi wa kisiasa nchini Uhindi
 - 15 Julai - John J. Pershing, jenerali kutoka Marekani
 - 27 Julai – Susan Glaspell, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1931
 - 24 Oktoba - Frederic L. Paxson, mwanahistoria kutoka Marekani
 
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
