Abaskhiron

From Wikipedia, the free encyclopedia

Abaskhiron
Remove ads

Abaskhiron (Qallin, Misri, karne ya 3 - Asyut, Misri, karne ya 3) alikuwa askari Mkristo aliyefia imani yake ya dini.

Thumb
Monasteri ya Mt. Abrahamu.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Juni.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads