Absadi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Abba Absadi (alifariki 1381) alikuwa mmonaki, mfuasi wa Ewostatewos na mwalimu wa Abba Filipos.

Alianzisha monasteri ya Debre Mariam mwaka 1374 katika Eritrea ya leo.

Hatimaye, askari walimkamata, wakamtesa na hatimaye wakamuua na kumkata kichwa.[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia na Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Septemba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Chanzo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads