Adariki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Adariki
Remove ads

Adariki, O.S.B. (kwa Kijerumani: Adalrich; kwa Kifaransa: Alaric; alifariki katika kisiwa cha Ufenau, katika Uswisi wa leo, 29 Septemba 973 hivi) alikuwa padri aliyeishi mara monasterini huko Einsiedeln, mara upwekeni [1].

Thumb
Mt. Adariki katika mchoro wa ukutani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads