Adriano wa Nikomedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Adriano wa Nikomedia (aliuawa 4 Machi 306)[1] alikuwa mkuu wa walinzi wa kaisari Galerius[1].


Alipokuwa na umri wa miaka 28, aliongokea Ukristo pamoja na mke wake Natalia[2], ilimbidi Adriano afie dini hiyo katika mji Nikomedia,[1][3] leo nchini Uturuki.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Kwa heshima yake Papa Honorius I aligeuza jengo la senati ya Roma kuwa kanisa[4].
Sikukuu yake huadhimishwa na Waorthodoksi katika tarehe tofauti; kwa Wakatoliki ni tarehe 8 Septemba.[5]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads