Agilolfo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agilolfo
Remove ads

Agilolfo (alifariki Cologne, 750 hivi) alikuwa Askofu wa Cologne, maarufu kwa maadili na kwa mahubiri[1].

Thumb
Sanamu yake katika mnara wa ukumbi wa mji wa Cologne.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, pengine hata mfiadini[2] .

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Machi[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads