Airaldo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Airaldo, O.Cart. (alifariki Saint-Jean-de-Maurienne, Savoy, leo nchini Ufaransa, 2 Januari 1146) alikuwa mmonaki askofu[1].
Alipokuwa mkaapweke huko Portes-en-Bugey, na vilevile alipokuwa askofu wa Maurienne, aliunganisha busara ya mchungaji na ugumu wa maisha wa Mkartusi[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads