Ajilo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ajilo (pia: Agilus, Agile, Aile, Ayeul, El; Burgundy, leo nchini Ufaransa, 580 hivi – Rebais, Ufaransa wa leo, 650 hivi) alikuwa abati wa kwanza wa monasteri ya Rebais kuanzia mwaka 636 hadi kifo chake.

Alipoingia utawani huko Luxeuil akiwa bado mtoto, mwalimu wake alikuwa Kolumbani. Baada ya kupata upadirisho alifanya kwa mafanikio umisionari huko Bavaria pamoja na Eustasi wa Luxeuil[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 30 Agosti[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads