Alberta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alberta
Remove ads

Alberta ni jimbo la Kanada upande wa magharibi ya nchi. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1905.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Thumb
Calgary , Alberta

Ina eneo la km² 661,848. Imepakana na Northwest Territories, Saskatchewan, Marekani (Montana) na British Kolumbia.

Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 3,632,483.

Mji mkuu ni Edmonton na mji mkubwa ni Calgary.

Lugha rasmi ni Kiingereza.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Calgary (991,759)
  2. Edmonton (712,391)
  3. Red Deer (82,971)
  4. Lethbridge (78,713)

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alberta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads