Saskatchewan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Saskatchewan
Remove ads

Saskatchewan ni jimbo la Kanada. Limepakana na Northwest Territories, Nunavut, Manitoba, Montana, North Dakota na Alberta.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Thumb
Hospitali ya Royal University ipatikanayo ndani ya jimbo la Saskatchewan

Lina eneo la km² 651,900.

Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 1,023,810.

Mji mkuu ni Regina na mji mkubwa ni Saskatoon.

Saskatchewan ni hasa jimbo la kilimo cha ngano pamoja na mafuta ya petroli.

Lugha rasmi ni Kiingereza.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Saskatoon (202,340)
  2. Regina (179,246)
  3. Prince Albert (34,138)
  4. Moose Jaw (32,132)

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saskatchewan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads