Alberto wa Yerusalemu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alberto wa Yerusalemu
Remove ads

Alberto wa Yerusalemu (alizaliwa Castel Gualtieri, Italia, karne ya 12 - alifariki Akka, Israeli, 14 Septemba 1214) alikuwa kwanza kanoni, halafu askofu wa Bobbio, halafu wa Vercelli nchini Italia, halafu tena wa Yerusalemu katika Nchi Takatifu[1].

Thumb
Sanamu yake huko Milano.

Ndiye aliyewapa kanuni watawa Wakarmeli.

Wakati wa kuadhimisha Sikukuu ya msalaba aliuawa kwa upanga na mtawa mwovu aliyekuwa amemlaumu na kumshusha cheo.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads