Kongoni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kongoni ni wanyamapori wakubwa wa jenasi Alcelaphus katika familia Bovidae. Kwa asili jina hili lilitumika kwa nususpishi A. buselaphus cokii lakini siku hizi nususpishi zote huitwa kongoni. Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni ya mchanga lakini tumbo na matako ni nyeupe. Wana kichwa kirefu na pembe zao zimepindika na zina umbo wa zeze zikionwa kutoka mbele. Wanyama hawa hula manyasi.
Remove ads
Nusupishi
- †Alcelaphus b. buselaphus, Kongoni Kaskazi (Northern hartebeest) - ameisha sasa
- Alcelaphus b. caama, Kongoni Mwekundu (Red hartebeest)
- Alcelaphus b. cokii, Kongoni Mashariki (Coke's hartebeestl)
- Alcelaphus b. lelwel, Kongoni Lelweli (Lelwel hartebeest)
- Alcelaphus b. lichtensteinii, Kongoni wa Lichtenstein au Konzi (Lichtenstein's hartebeest)
- Alcelaphus b. major, Kongoni Magharibi (Western hartebeest)
- Alcelaphus b. swaynei, Kongoni wa Swayne (Swayne's hartebeest)
- Alcelaphus b. tora, Kongoni Tora (Tora hartebeest)
Remove ads
Picha
- Kongoni mwekundu
- Kongoni lelweli
- Kongoni wa Lichtenstein
- Kongoni magharibi
- Kongoni wa Swayne
![]() |
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kongoni kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads