Aleksanda Sauli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aleksanda Sauli
Remove ads

Aleksanda Sauli, B. (Milano, Lombardia, 15 Februari 1534 - Calosso, Piemonte, 11 Oktoba 1592) alikuwa askofu kwanza wa Aleria, halafu wa Pavia na mtawa wa shirika la Makleri wa Mt. Paulo, maarufu kama Wabarnaba, nchini Italia[1].

Thumb
Mt. Aleksanda, Mtume wa Corsica.

Aliinua fukara kwa upendo wa ajabu akaacha maandishi mbalimbali.

Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri tarehe 23 Aprili 1741, tena mtakatifu na Papa Pius X tarehe 11 Desemba 1904.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2][3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads