Anastasi wa Schemaris
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Anastasi wa Schemaris (alifariki Schemaris, Lazica, leo nchini Georgia, mwaka 666) alikuwa mmonaki mfuasi wa Maksimo Muungamadini na mshiriki wa mateso yake kwa ajili ya imani sahihi[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads