Andeoli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Andeoli
Remove ads

Andeoli (Smirna, leo nchini Uturuki, karne ya 2 - karibu na Viviers, 208) alikuwa Mkristo kutoka Smirna (leo nchini Uturuki) aliyefanya umisionari huko Galia Kusini (leo Ufaransa) hadi alipouawa wakati wa dhuluma ya kaisari Septimius Severus [1].

Thumb
Ngao ya Saint-Andéol-de-Clerguemort, ikimuonyesha Mt. Andeoli.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa kila tarehe 1 Mei[2].

Remove ads

Maisha

Akiwa shemasi, alitumwa na askofu wake Polikarpo,[3] kuinjilisha Galia pamoja na Beninyo wa Dijon.

Kati ya waliowaongoa, mmojawao ni Sinforiani wa Autun, baadaye mfiadini.

Andeoli aliendelea hadi eneo la Viviers alipouawa kwa upanga.[4]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads