Andeoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Andeoli (Smirna, leo nchini Uturuki, karne ya 2 - karibu na Viviers, 208) alikuwa Mkristo kutoka Smirna (leo nchini Uturuki) aliyefanya umisionari huko Galia Kusini (leo Ufaransa) hadi alipouawa wakati wa dhuluma ya kaisari Septimius Severus [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Maisha
Akiwa shemasi, alitumwa na askofu wake Polikarpo,[3] kuinjilisha Galia pamoja na Beninyo wa Dijon.
Kati ya waliowaongoa, mmojawao ni Sinforiani wa Autun, baadaye mfiadini.
Andeoli aliendelea hadi eneo la Viviers alipouawa kwa upanga.[4]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads