Sinforiani wa Autun

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sinforiani wa Autun
Remove ads

Sinforiani wa Autun (alifariki 178 hivi) alikuwa Mkristo wa mji huo, leo nchini Ufaransa aliyeuawa kwa ajili ya imani yake.

Thumb
Daniel Hallé, Kifodini cha Mt. Sinforiani (1671), kanisa kuu la Saint-Pierre de Saint-Flour.
Thumb
Jean-Auguste-Dominique Ingres, Kifodini cha Mt. Sinforiani (1834), kanisa kuu la Saint-Lazare d'Autun.

Wakati wa kwenda kuuawa, mama yake alimlilia kutoka ukutani mwa ngome ya mji, "Mwanangu, mwanangu, Sinforiani, umkumbuke Mungu aliye hai. Leo uhai wako hauondolewi bali unaboreshwa tu"[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Agosti[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads