Andrea Bobola

From Wikipedia, the free encyclopedia

Andrea Bobola
Remove ads

Andrea Bobola, S.J. (Sandomir Palatine, Polandi, 1591Janów, leo nchini Belarus, 16 Mei 1657) alikuwa padri mmisionari na hatimaye mfiadini wa Shirika la Yesu, anayejulikana kama "mtume wa Lithuania" na "mwindaji wa roho" kwa sababu alijitosa kurudisha umoja kamili kati ya Wakristo.[1][2]

Thumb
Mt. Andrea Bobola.

Hatimaye alikamatwa na askari, akateswa na kuuawa katika uasi wa Khmelnytsky[3][4].

Alitangazwa kuwa mwenye heri na Papa Pius IX tarehe 30 Oktoba 1853, halafu mtakatifu na Papa Pius XI tarehe 17 Aprili 1938.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads