Papa Pius XI

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Pius XI
Remove ads

Papa Pius XI (31 Mei 185710 Februari 1939) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6/12 Februari 1922 hadi kifo chake[1]. Alitokea Desio, Milano, Italia[2].

Thumb
Papa Pius XI.
Thumb
Pius XI ofisini.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Achille Ratti.

Alimfuata Papa Benedikto XV na kuvishwa taji la Kipapa tarehe 12 Februari 1922. Akafuatwa na Papa Pius XII.

Maisha

Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu mkuu wa Milano (tangu mwaka 1921).

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads