Ansuero na wenzake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ansuero na wenzake 28 (walifariki Ratzeburg, Ujerumani, 15 Julai 1066) ni wamonaki Wabenedikto waliofia dini yao kwa kupigwa mawe na Wavendi waliokataa kuhubiriwa Injili[1].
Ansuero alikuwa abati wao.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads