Antioko wa Sulcis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Antioko wa Sulcis
Remove ads

Antioko wa Sulcis (Mauretania au Kapadokia, 95 hivi - Sulcis, Sardinia, leo nchini Italia, 127 hivi) alikuwa Mkristo aliyepelekwa uhamishoni kwenye migodi ya kisiwa cha Sardinia na hatimaye kuuawa kutokana na imani yake[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Antioko.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 13 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads