Antonio Maria Pucci

From Wikipedia, the free encyclopedia

Antonio Maria Pucci
Remove ads

Antonio Maria Pucci, O.S.M. (Poggiole di Vernio, Toscana, 16 Aprili 1810Viareggio, Italia, 12 Januari 1892), alikuwa padri mtawa wa Kanisa Katoliki aliyefanya uchungaji kama paroko sehemu ileile kwa miaka 48, akiwajibika sana katika malezi, katekesi na huduma kwa wahitaji [1].

Thumb
Mt. Antonio Maria.

Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri tarehe 12 Juni 1952, halafu Papa Yohane XXIII alimtangaza mtakatifu tarehe 9 Desemba 1962.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads