Apiano wa Comacchio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Appiano wa Comacchio (aliishi karne ya 9 hivi) alikuwa mmonaki huko Pavia, Italia, aliyepelekwa na abati wake kuishi kama mkaapweke huko Comacchio ili kuhakikisha chumvi kwa ajili ya monasteri.

Akiwa huko alifanya pia utume kwa wananchi[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 4 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads