Apro wa Vienne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Apro wa Vienne (kwa Kifaransa: Aprus, Aper, Apre, Aupre, Avre, Epvre, Evre; karne ya 6 - Vienne, leo nchini Ufaransa, 650 hivi) alikuwa padri ambaye, kisha kufanya uchungaji na kuwa paroko [1], alihama jimbo la Grenoble kwenda kuishi upwekeni na kufanya toba katika chumba kidogo alichojijengea [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Papa Pius X alithibitisha heshima hiyo tarehe 9 Desemba 1903 [3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Desemba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads