Teleka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teleka
Remove ads

Teleka au barawai ni ndege wa familia Apodidae. Ndege hawa ni wadogo wenye mabawa marefu kwa umbo wa mundu. Rangi yao ni kahawia au kijivu na mara nyingi kiuno, koo na/au tumbo ni nyeupe. Teleka hupitisha takriban maisha yao yote angani wakikamata wadudu. Kwa hivyo ndege hawa hawawezi kutembea vizuri. Zamani watu walifikiri kwamba teleka hawana miguu, wakawapatia jina “apus” kutoka Kiyunani α = bila na πους = mguu. Hunywa pia wakiruka, lakini hulala wakishika nyuso ya wima.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Teleka hujenga tago lao kwa vitu mbalimbali (vitawi, maua, majani, nyuzi, manyoya, wadudu) ambavyo vinagundishwa pamoja na mate. Matago ya spishi nyingine yamejengwa kwa mate pekee na haya yalika, huko Uchina hasa. Jike huyataga mayai 1-4.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Spishi za kabla ya historia

  • Aerodramus manuoi (Mangaia Swiftlet, Holocene, Mangaia)
  • Apus gaillardi (Kati hadi mwisho wa Miocene, La Grive-St.-Alban, Ufaransa
  • Apus wetmorei (Mwanzi hadi mwisho wa Pliocene, Ulaya ya Kati)
  • Apus baranensis (Mwisho wa Pliocene, Ulaya Kusini Mashariki)
  • Apus submelba (Kati ya Pleistocene, Slovakia)
  • Chaetura baconica (Mwisho wa Miocene, Hungaria)
  • Collocalia buday (Mwanzo wa Miocene, Riversleigh, Australia)
  • Tachornis uranoceles (Mwisho wa Pleistocene, Puerto Rico)

Picha

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads