Arey

From Wikipedia, the free encyclopedia

Arey
Remove ads

Arey (pia: Ariji, Aredi; Chalon-sur-Saône, 535 hivi - Gap, 1 Mei 604) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) maarufu kwa uvumilivu mkubwa katika matatizo, kwa kupinga usimoni na kwa kupokea vizuri wamisionari waliotumwa na Papa Gregori I Uingereza [1].

Thumb
Mt. Arey alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads