Asafo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Asafo (pia: Asaf, Asaph, Asa; alifariki Llanelwy, Welisi, 596 hivi[1]) kuanzia mwaka 573 alikuwa askofu-abati wa jimbo ambalo baadaye lilipewa jina lake [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa kila tarehe 1 Mei[3][4] lakini pia 5 Mei[5] na awali 11 Mei.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads