Athanasi wa Mlima Athos
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Athanasi wa Mlima Athos (Trabzon, leo nchini Uturuki, 920 hivi - Mlima Athos, Ugiriki, 1003 hivi) alikuwa Mkristo mpole na mnyenyekevu, baada ya kuwa mwalimu, akawa mmonaki ambaye alianzisha monasteri maarufu katika rasi ya Mlima Athos[1], ambayo ikawa muhimu kuliko zote za Kanisa la Kiorthodoksi hata leo [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads