Aubati wa Avranches
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Aubati (au Aubert, Autbert; karne ya 7 - 720) alikuwa askofu wa Avranches, Normandy huko Ufaransa[2].


Kwa njia yake heshima kwa malaika mkuu Mikaeli ilistawi sana.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3]
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Septemba[4].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads