Aubati wa Avranches

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aubati wa Avranches
Remove ads

Aubati (au Aubert, Autbert; karne ya 7 - 720) alikuwa askofu wa Avranches, Normandy huko Ufaransa[2].

Thumb
Ndoto ya Mt. Aubati ambayo inasemekana Malaika Mikaeli alimuagiza kujenga kanisa mlimani kwa heshima yake[1].
Thumb
Mlima Saint-Michel kutoka angani.

Kwa njia yake heshima kwa malaika mkuu Mikaeli ilistawi sana.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Septemba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads