Augustino Caloca

Shahidi wa Mexico From Wikipedia, the free encyclopedia

Augustino Caloca
Remove ads

Augustino Caloca (jina kamili kwa Kihispania Agustín Caloca Cortés; Zacatecas, Mexico, 5 Mei 1898 - Colotlan, Mexico, 25 Mei 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero[1]. Hivyo alishuhudia uaminifu wake kwa Kristo na kwa Kanisa lake.

Thumb
Picha halisi ya Mt. Augustino Caloca.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads