Austindo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Austindo (kwa Kifaransa: Austinde au Ostent; Bordeaux, 1000 hivi - Auch, 1068 hivi) alikuwa askofu mkuu wa Auch, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 1049 hadi kifo chake, akijitahidi kueneza urekebisho wa Papa Gregori VII.
Alijenga kanisa kuu pamoja na taifa la Mungu kwa kustawisha maadili [1].
Kabla ya hapo alikuwa mmonaki, halafu abati wa monasteri wa Wabenedikto wa Auch.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads