Austindo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Austindo
Remove ads

Austindo (kwa Kifaransa: Austinde au Ostent; Bordeaux, 1000 hivi - Auch, 1068 hivi) alikuwa askofu mkuu wa Auch, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 1049 hadi kifo chake, akijitahidi kueneza urekebisho wa Papa Gregori VII.

Thumb
Sanamu yake.

Alijenga kanisa kuu pamoja na taifa la Mungu kwa kustawisha maadili [1].

Kabla ya hapo alikuwa mmonaki, halafu abati wa monasteri wa Wabenedikto wa Auch.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Julai[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads