Bafe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bafe au moma wa kawaida ni nyoka mwenye sumu wa jamii ya kifutu anayepatikana savannah na nyasi katika Moroko na kusini magharibi mwa Arabia na hasa kote Afrika Kusini kwa Sahara isipokuwa katika maeneo ya misitu na ya mvua.
Ni nyoka pekeee ambaye anazaa kama mamalia na ana uwezo wa kuzaa mpaka watoto 50 kwa wakati mmoja. Ana idadi ya meno 32 katika mdomo wake.
![]() |
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bafe kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads