Bariadi (kata)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bariadi (kata)
Remove ads

Bariadi ni kata iliyo kitovu cha mji wa Bariadi na makao makuu ya Mkoa wa Simiyu, Tanzania yenye postikodi namba 39101 [1].

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Ramani ya Wilaya ya Bariadi, Tanzania

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 19,360 [2]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ya Bariadi ilikuwa na wakazi wapatao 11,248 waishio humo.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads