Bariadi (mji)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bariadi ni mji katika Mkoa wa Simiyu ulio makao makuu ya mkoa. Ilipata halmashauri yake ya pekee kuanzia mwaka 2012[1] ilipotengwa na Wilaya ya Bariadi.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Misimbo ya posta huanza kwa namba 391[2].

Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, eneo la mji ulikuwa na wakazi 167,508 walioishi katika kata 10[3]. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 260,927 [4].

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads