Bashinuna

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bashinuna
Remove ads

Bashinuna (alifariki 19 Mei 1164) alikuwa mmonaki wa Skete, Misri ambaye alifia Ukristo kwa kuchomwa moto katika dhuluma ya Waislamu chini ya khalifa Al-Adid.

Thumb
Masalia yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads