Tatata

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tatata
Remove ads

Tatata au kapurapunda ni ndege wadogo wa jenasi Batis katika familia Platysteiridae wanaotokea Afrika chini ya Sahara. Zamani waliainishwa katika familia Muscicapidae. Takriban spishi zote zina kinyago cheusi, utosi kijivu, mgongo kijivu au mweusi, tumbo jeupe na kidari chenye mlia mweusi au kahawiachekundu. Dume ana nyeusi zaidi na jike ana nyekundu zaidi. Hula wadudu na hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika mti au kichaka. Jike huyataga mayai 1-4.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads