Centro Sur
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Centro Sur (Kihispania kwa "Kusini-Kati") ni mkoa wa Guinea ya Ikweta. Mji mkuu wake ni Evinayong.
Mkoa huu ni sehemu ya kanda la Rio Muni lililopo kwenye bara la Afrika.
Centro Sur inapakana na Mkoa wa Estuaire wa Gabon upande wa kusini-magharibi na Mkoa wa Woleu-Ntem upande wa kusini-mashariki, halafu Mkoa wa Kusini wa Kamerun upande wa kaskazini. Ndani ya nchi, inapakana na Kié-Ntem kwenye kaskazini-mashariki, Wele-Nzas kwenye kusini-mashariki, na Litoral upande wa magharibi.
Centro Sur ina miji mitatu kuu: Akurenam, Niefang na Evinayong.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads